Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

CHEZEYA LEFT HANDED PEOPLE WEEEEEEH




George H.Bush 41st Us president

Tom cruise( Us actor)


                                                          Bill Clinton Us president 42nd


                                          tunafanana lips na mashoto na shosti Angeline
current Us President 44th Barack Obama

Christine Sintah JM


watu wengi wanajua kwamba ukiwa unatumia mkono wa kushoto kuandika basi kichwani zimo,ukweli ni kwamba watu wanaotumia mkono wa kushoto Mungu amewapa akili ya ajabu sana,wanajua wanachofanya IQ yao kubwa pamoja na yote wana akili sana za formal and informal education
kwa kuamini hilo tuu anza kuamini na mimi nashukuru kwa kunipa akili za formal na informal education(usigune jamani hata babu yako kijijini anajua hilo)
sijawahi kumuona mtu anatumia Left halafu hamnazo haliwezekani kabisa
umeona vichwa vya hapo juu???usikasirike Mungu ndie mpangaji



25 comments:

Anonymous said...

Ahahahaaa..nmechekaje, nmejaribu kufkiria nmeona kuna ukweli kwa baadhi ya watu niwajuao ila ulipojiongezea wewe bac maana yote ikafutika coz nakufahamu hujabarikuwa kihivyo kama unavyojitapa.

Anonymous said...

Yan Sinta una vitukooo!!! hv rafiki zako wanakupenda kweli? maana nnavyojua wasichana kwa kusemana? mbona ckuoni na DIDA mashauzi.com mikorogo?

Anonymous said...

kaaaaaaaaaaazi kweli kweli

Anonymous said...

Hapana lips hamfanani, za Angelina Jollie ziko more sexier

Anonymous said...

wewe sinta acha kujiita jlo wa bongo kwa kuwa huwezi ata chembe kumfikia jlo wa us, wewe ni mshamba, unahangaika tu kwa kujishebedua hapa, kwanza uzuri huna maana umejokoroga hadi unatisha wakati ulikuwa na rangi yako safi tu...hujaonaga warembo nini? kwanza hauko brite akilini mwako maana ingekuwa hivyo ungekuwa mbali sana kielimu..tupa kule...unajichoresha kwa jamii yote bila mwenyewe kujua...wenye mambo makubwa huwa hawajitangazi wala kujisifiasifia kijinga kama wewe...

Anonymous said...

mhh! nmechekaje!!! cnta una v2ko et "ucgune hata babu yako kijiji anajua" loh mtoto una maneno ya kiswahili weye, haya bdada.

Anonymous said...

Huna lolote ungekuwa na akili usingekuwa unaranda randa hovyo Den France. Hivi Sinta kioo gani unatumia kujiangalia mbona kinakudanganya. Naona unakazana kujifananisha na wanawake wazuri wakati wewe hovyo, hebu badilisha kioo upate ukweli wako!

Anonymous said...

ila sinta mi nilisomaga na mtu left hand alikuwa kilaza kinomaaa.my boy is left handed and he is intelligent kwakweli ni straight A student mpaka degree yake imeshiba now he is doing well at his job.
so nimegundua ma left hand ukikuta wana akili wana akili haswaaaaa na ukikuta kilaza basi ni kilaza kweliii kweliiiiii!

Anonymous said...

Jamani wanaotumia shoto wanakuwa na kitu extra hata hivyo si kama wenye kutumia mkono wa kulia ndio hamnazo!!

Anonymous said...

nimechekaaaaje? naona bdada kazidi, hivi kwa nini hataki kujikubali kama yeye mpaka apitie ktk migongo ya watu??? jamani, eti anajifananisha na agelina jol, hivi hajioni hilo domo lilivyopana utafikiri kibuyu? ushamba!!!!mmhhhhhhh

Anonymous said...

MH ACHA NICHEKE MIE MASHUSHU YOTE YA NINI? UKWELI UTABAKI PALE PALE PIA MIMI NI LEFT HENDED NIPO POA KAMA ASEMAVYO SINTALIOUS UKWELI NDIO HUO

MUMY BRICE

Anonymous said...

dah kweli umenifumbua akili inawezekana asilimia kubwa ya watu hao wapo vizuri asante kwa utafiti wako

Anonymous said...

Haa in ur dream bidada wewe na Angelina Jolie lips totally looks different u need to love who u are and don't compare with no body.

Anonymous said...

Yap, this was meant to be a funny post, thanks jlo wetu, tehe tehe teheee...
Ila Sintah, naomba nikusahihishe kidogo, George Bush ni raisi wa 43 wa MArekani na sio 41 kama ulivyoandikaa... Logically, Clinton alimtangulia Bush na sio kinyume, fanya masahihisho sweetheart...
Ciaooo

Anonymous said...

sinta achana nao haop wanaokupaonda ,wewe songa mbele watasema mwishowe watachoka,mim mwenyewe natumia left hand

Anonymous said...

ha ha ha nimecheka ati mdomo wake kama Angeline!!!!!!!!!!!!!!!bwahahahaha...SUBIRI KUSIFIWA MAMA....KAMA AKILI NDO KAMA HIZO ZAKO CINTA BORA NISIWE NA AKILI....NAONA CINTA HAYO MASOMO YAKO INGEKUWA UMESOMA ULAYA TUNGEKOMA...NAHISI NI KAMA VILE KIPOFU KAONA MWEZI BASI WATU HAWALALI.

Anonymous said...

MDAU ULOSEMA KWAMBA CINTA ABADILISHE KIOO ANACHOTUMIA U MADE MA DAY THANX...LOL

Anonymous said...

Midomo ya angie J? wewe bint si ungejidai sana, lakini siwezi kukulaumu hatahuko marekani kuna watu wanataka kuwa na midomo km ya angelina, kila siku kuchoma sindano, wananiuzi kweli, hebu ona midomo ya lindsay lahan ilivyoharibika maana amekua kama mdudu. punguza mkorogo japo kidogo. zamani kweli ulikua mzuri siku hizi sijui uzazi umejiachia sana.

Anonymous said...

Hahahaaaa kweli wewe msomi!!!!! na unaakili sanaaaa ndo maana uko hapo ulipo hahahaaaaaaaaaaaaa. my ribs mie zavunjika. na ndo maana uko genius kama hao uliowataje hapo juu. wenye left ukimkuta anazo anazo kweli ukimkuta hana anakuwa kilaza kama wewe

Anonymous said...

sasa ao wanaotumia mikono ya shoto,uwaga wanachamba na mkono gani au wanatumia wa kulia?

Anonymous said...

huna uzuri wowote bi dada usijifie,kujifananisha na watu wazuri wakati we wakawaida sanaaaaa.ushamba huo

Anonymous said...

we sintah kwani ni left hand?

Anonymous said...

Nina kaka yangu alikuwa anatumia shoto; wazazi walimkataza mpaka aliweza kushift kutumia right hand; advantage alonayo ni kuwa he can use both hands now.

Ila kuhusu akili yes he is bright; lakini wote nyumbani kwetu ni vichwa na the rest ni raght handed. Hivyo hakuna ukweli kwani mashoto ni wachache na wenye akili duniani ni wengi

Anonymous said...

hahahaha, nasikitika sana na mambo niliyoyaona

Anonymous said...

ahahahaaa, ni kweli,most of them ni bright, but sio wewe..SINTA ni bonge la kilazaaaaaaa!!!