Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

GET VIP TREATMENT AT MAZNAT SALON

               nilipowasili kwa maznat saloon
               shughuli iliyaanza hivi

            huyu ndie alienipendezesha usiku ule
             urembo kazi


                                     mmh endeleaaaaah

               nipo tayarii kwa harusi


<><>
<>
<><>
nikakutana na shosti nilipoingia

umeona tege?





mdau najua una hamu kubwa ya kutaka kuona harusi ya Nargis ilivyofana
ila bibi harusi anafanya mchakato nipate kile kizuri cha kuwekea
nikaona niwaonjeshe kiduchu,ila msijali mtapata flavour yenyewe

53 comments:

Anonymous said...

acha mafumbo bibi

Harrieth said...

sintah ulipendeza sana

joy said...

nakupenda sana jlo wa bongo keep it up

jj said...

sintah to the top of the mountain

leah said...

classic woman with brain

Anonymous said...

Kwani lazima ukae uchi ukienda kwenye harusi???? aghhh jamani. Picha kachukue U-turn au wedding bell.
Jamani mavazi ya harusi lol?

Anonymous said...

makeup na nywele umependeza mno, ila viatu vyaonekana havijakutendea haki..kama umenunua manzese au macho yangu labda..

Anonymous said...

Sintah bwana swala la uso nakuchwa hapo unapawezea mno ila huko chini ni biggg no mama harus nahilo gown ni two different things next time hope it will work out

Anonymous said...

Ukitaka miguu yako ionekane mizuri...AU UKITAKA KUJUA UZURI WA MIGUU IPIGE PICHA KWA MBELE.....SINTA HUNA MIGUU MIZURI YA KUJISIFIA MPENZI......SIKU ZOTE UKIPIGA PICHA KWA NYUMA AU UKILALA KIFUDIFUDI HALAF UPIGWE PICHA UNAONEKANA UNA MIGUU MIZURI.....ANGALIA PICHA YA LEO MIGUU HAINA SUPU WALA HAINA MVUTO WA KUSHTUA NI MIGUU YA KAWAIDA KUKUSAIDIA KUTEMBEA...

Anonymous said...

Lakini umeisoma. Hapo wanaokusifia kuwa umependeza siyo kweli. Jaribu kucheki piacha zako nyingine na hzi.

Anonymous said...

Huyo Shosti wako ulikutana naye unaona alivyopendeza kavaa fupi ila amenoga ile mbaya. Hapo hapana meza tu taratibu.

Anonymous said...

Make up nyingi hupendezi. Jaribu kutumia makeup kidogo. Usipopaka makeup unapendeza ile mbaya. So punguza makeup angalia kabla hujapaka makeup na baada uone tofauti. Ila umependeza japo si kivileeeee

Anonymous said...

Duh Kweli mkorogo umekubali. Wewe ulikuwa mweusi tiiii, hizi picha ndo zinaonyesha jinsi ulivyojikoroga, huo uso je? Wabongo bana mi nilikuwa nakupenda sana ulivyokuwa sasa umeingia tena kwenye mkorogo? hembu ona picha uliyokaa uko tayari kwa harusi, ngoja nipate coffee nirudi tena kuangalia.
Mdau,
Uk

Anonymous said...

Ishshs!!!!!!!!!!!! kweli usupa star unautafuta kwa nguvu zote. Lakini ndo maisha. Kila la heri mdogo wangu. Leo sijapenda nisikudanganye.

Anonymous said...

Sauda Mwilima au nimekosea? Unaona hapo Mhhh Endelea ungeishia hapo hapo.

juliana deus said...

dahh sio siri ukweli lazima usemwe uyo anayekufanyia make up mhhh kiboko lakini na uzuri unacgangia jaman lohhh make up imeenda shule lohh sio wengine tukitoka tu injoface tu na lip shine inatosha lohhh pendeza sana mumy

Anonymous said...

Mhh!!!!! nimepita tu

Anonymous said...

Kwa kweli maznat yupo juuuuuuuuu,sinta ulipendeza sanaaaaaaaaa anaesonya na asonye maana binadamu roho za kutu

Anonymous said...

SINTA MBONA UMECHELEWA KUWEKA PICHA ZA HARUSI IYO, ILA TUNASHUKURU TUMEONA WEDDING BELL NA U TURN. ULIPPENDEZA SANA ILA IYO RANGI BLUE & RED CJUI NIMEIONAJE ANY WAY KILA MTU NA ANACHOPENDA ALL IN ALL NARGIS KAPENDEZA SANA LOH::

PENDO LEMA

Shostito said...

umependeza mwaya ila too much make up na picha zako jitahidi kuboresha ubora na zisiwe kubwa kiiivyo!

Anonymous said...

Nimepaliwa na maji.

Anonymous said...

huyo bidada wa maznat ni mtaalamu haswaa wa nywele,alinitengeneza nywele on my wedn day zilinogaje....big up mdada...sinta umependeza sana ila its tym tuanze kuvaa max dress kwenye outng ze2,esp wedn jaman, coz huwa kunakua na wa2 wazima just a word of advice, club na party ze2 za vijana unaweza ukavaa wateva u lyk.

Anonymous said...

ulishindwa kutengeneza kucha wakati ulijua utavaa viatu vya wazi?! Mashauzi nayo yakizidi kazi kwelikweli...
Ulipendeza kama unaenda kwenye mtokoo wa w'end au party na sio kwenye harusi tena ya shostiyo kama unavojidai....
Tuonyeshe na gari unayoendesha hapa mjini na ghetto unaloishi basi bidada mana naona unapenda kujianika.....

Anonymous said...

He!!!! Mtumeeeee hivi bado unasoko???? Mchina kiboko. Umeona hauuziki ukaamua ubadili na rangi kabisa ili uende na wakati na kupata soko kirahisi huyu si Jlo ninayemfahamu mimi. Jlo ninayemfahamu japo kuwa alikuwa changu ila alikuwa mzuri na rangi nzuri. Ila hii ndo dawa ya mkorogo. Wachina hoyeeeeeeeeeeeee.

Anonymous said...

Siku Ya kitchen Party nilikupendaje haswa makeup. Leo hapana bana mhhhh haiji kabisa. Maznata wako professional lakini hapo hapana.

Anonymous said...

Mrs Juma Nature maana ndo alikutoa ulikokuwa, just to save time..HUJAPENDEZA!!!!!! take it or leave it,utajikeri. Jlo wa bongo my foot,hayo manyama uzembe ya kiunoni unayapeleka wapi? Pls fanya mazoezi punguza mwili huo. Makeup mbayaaaaaaaaaaaaaaaa. kama nanihii sau*

Anonymous said...

Makeup makeup Jlo, Ya miss Tz iko poa sana kasoro mgauni ulikutoa manyama uzembe. Ya Kitchen Party nayo makeup ilikuwa poa sana pamoja na kitenge kilikutoa bomba. Nguo fupi zinakupendeza ila hii hapana haswa ukiangalia hapo kwenye tege mhhh. Hili gauni usivae tena haijakupendeza sijawahi kukuambia kila siku nasifia ila hii hapana. Kama fans wako nakuomba upunguze mwili halafu usipende kuonyesha weakness yako ya kujikomba kwa watu. Tafuta marafiki wako kama watatu au watano ambao ni best friends, halafu hawa wengine wanakuwa wa kawaida tu usijikombe kwa mtu hata kama yuko juu sana maana unajiharibia sifa yako na inakufanya ushuke wakati sasa unapanda vizuri.

Anonymous said...

Sinta naomba nikuwambie kitu leo umependeza sana hasa usoni ila usipende kukaa uchi mapaja yako yaeanza kuchoka badilisha mfumo wa mavazi

Anonymous said...

unatafuta basha wa kukupiga pumbu wewe. huna lolote

Anonymous said...

Una shida ya kufirwa wewe. Nitakutafutia mwanamume wa kukufira.

Anonymous said...

Nyooooooooooooooooooooooooooooo. Uso kama kinyesi cha jana.

Anonymous said...

binadamu kusema ni kawaida yao,cyo siri sinta ulifunika bovu.

Jane bomba

Anonymous said...

Ungevuta hili gauni juu tuone kuma lako. Kisimi cha mama yako mbwa wewe.

Anonymous said...

Wewe ni malaya mbovu. Tutaanza kuanika vitu ulivyokuwa unafanya chuoni. Changu mchafu wewe.

Anonymous said...

nikakutana na shosti nilipoingia_ Umeona alivyopendeza huyo shosti wako???? punguza mkorogo haukusaidii chochote unaonyesha jinsi usivyojiamini maana mtu asiyejikubali ndo anajitahidi kujibadilisha. Sinta wewe ni mzuri haina haja ya kutumia mikorogo unajiharibu. Kubali wewe ni mzuri ipende ngozi yako na itunze. Ukiiweka kapuni poa lakini ushauri wangu ufuate. Tumia cream/lotion original na nzuri za kung'arisha tu ngozi si kuchubua.

Anonymous said...

sintah mimi ni shabiki wako sana ila naomba leo nikwambie kua that was not the dress bwana ,ila kwa make up na colour u are ok tatizo nguo haikua mahali pake pale bwana.

mama rique

Anonymous said...

mmmh the make up is real bad for my opinionmmmh the make up is real bad for my opinion

Anonymous said...

You horrible and old,hiyo foundation sio color yako,too white,du yaani wamekutoa uzuri badala ya kukuongezeaYou horrible and old,hiyo foundation sio color yako,too white,du yaani wamekutoa uzuri badala ya kukuongezea

Anonymous said...

dada yasinta umependeza sana huyo dada aliekutengeneza nywele hakika ni mtaalam sana hongera dada kwakupendeza ulingara haswa sasa kitu kidogo tu ulitakakukosea ni kucha za miguuni ujazitengeneza vizuri unapo vaa viatu vya wazi jaribu kutengeneza kucha zipendeze ni hayo orthowise umependeza sana

jlo said...

kwa ulienitukana mimi and my entire family hivi hushtuki na hujishangai sikujibu ndo maana nimeeka ure comments ili watu wakucheke
ooh talk is cheap and affordable so go ahead

Anonymous said...

unajibishana naye nini huyo shwaini mla maini ya mwanaye? ukiona hivyo ujue ni lijitu lakaribu sana pelek umbeya wako wa chuo huko huko shwani mla kende za kengedere hahahahahaah

jamani yani watu stress zenu mnazileta kwa sinta fungueni na nyie blog zenu basi tuwaone mnavyopendeza

HARUSI ILINOGA NA ULIPENDEZA SANA NA MAKE IKO POA KABISA WASIKUTISHE HAO VIJIBA VY ROHO ILA NGUO NAONA KAMA NI YA KUPARTY VILE NEXTIME PIGA EVENING DRESS KAAM RED CARPET VILE HALOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO MAHETAAAAAAAAAAAZ

Anonymous said...

its meeeeeeeeeeeeeeeee

skinny gal by the way hapo juu

juliana deus said...

eeee jaman kweli kabisa unaweza kumtukana mtt wa mwanamke mwenzio kiasi hicho jlo acha kuachia comment za matusi kiasi hicho ndio tunajua inauma lkn plzzzzzzzzzz km wadau wako kaza buti mama wengine hatujulikan lkn bd tunachukiwa sembuse wewe maarufu lkn ht ukiwa na umaarufu wa namna bd ni maarufu tu ucwajali uctake kua na wadau 1000 wakati hawakusapoti kuwa na cc 10 tunatosha kweli imeuma kwa matusi waliyokutukana jamn lohhh sio vizuri jaman na kuhusu chuoni kila m2 atafanya llt kufika kule anapopataka kwan hamjawahi kusikia mliman kuna degree za chupi itakua leo kwa sintah aaaaaaaaaa jamn kueni na utu .jlo NAOMBA UCWASIKILIZE HAO WALIOCHOSHWA NA MAISHA YAO

Anonymous said...

Hivi unadhani why waliweka moderator kwenye blogs,ni sababu ya kubana comments kama hizo,this ia about you na sidhani kama familia yako eti watafurahi endapo watakuta comments za ajabu za kuwatukana
Use ur head we mwanamke,ukitukanwa weka but wakianza kutukana ur family bana hayo ma comments

Anonymous said...

O my Gosh you luk like Geisha girl..make up kama kinyago cha kijapani. Girl you look so funny..like Michael Jackson....oops hupendezi kabisa.

jlo said...

dear wadau
kuonyesha kuwa my family hawako hivyo im from religious family and they do understand who iam so peole take it easy nimeweka makusudi ili muone utumbo alioandika labda yeye alilala na my dad akagundua that so called g,,, but to me will temain super dooper jlo

Anonymous said...

yani hawa watu kuwakomesha usiachie comments zao ili wawe wanafanya kazi bure ila ni wivu tu unawasumbua achana naooooooooo

Anonymous said...

SINTA ACHANA NA WALIMWENGU WIVUUUU UMEWAJAA MAFISI TUU HAO,ULIPENDEZA NA MAZNAT YUPO JUUUU SANAAAA WEWE ULIESEMA SINTA KAREMBWA VIBAYA SURA KAMA UCHI WA NYANI MWONE,HAHAHAAA SI AJABU MAISHA YAKO MABOVUUUUUUUUU UNAJIDAI KUTUKANA WATU MWONE,SINTA ACHANA NA HUYO PUNDA,MAZNAT YUPO JUUU APENDE ASIPENDE ULIPENDEZA MNAOSONYA SONYENI WEEEEE MTANYAMAZA

Anonymous said...

ACHANA NA WALIMWENGU WIVU,ULIPENDEZA SANA ULIREMBWA VZR HHAHAAAAAAA WENYE WIVU KUNYWENI SUMU YA PANYA

Anonymous said...

Hello ,sinta i v a little comment to make on Ur way of addressing issues... u have what we call insecure personality,cos am sure anyone reading Ur post gets irritated in some way, u always use unrepresentable language,....a little advice be positive mama, be who u a,don ask for people opinion to make you feel secured,eg the pics above were NARGS wedding so there was no need for u to post too much of Ur photos as if was Ur day; i expected one or two of Urs... one thing; its often that with posting u make viewers respond the same or worse way you could ever imagine.Pole coz with such comments its hard to swallow.

Anonymous said...

miguu imekukakamaaa eti JLO..J'lo my asssss!!! makucha yenyewe ya miguu hujayasafisha, jenifer sio mchafu wewe,unajipaishaaaaaaaaa!!

Anonymous said...

jack kakupoteza mbaya hapo,humpati kabisaaaaa!!! yani huyo msichana ni classic xana!! huyo ndo angekua JLO wa bongo sasa.....sinta we jifananishe na dida na sauda ndo mnaendana kabsaaaaaa!! washamba nyie wnawake,msyuuuuuu!!

Anonymous said...

we wajiita mzuri au mrembo mana zuri ni wa asili tupa carolight pembeni ndio tuuone tatu wajiita majina yasio endana we wemchomvi na uliejaa wivu muacheni ushamba nne jlo ana height we mfupi ka kigoda ka chini omba ngazi ukwee angalau umfikie hyo jlo original hatutaji dublicate zako na wivu uache unamuonea wivu kyln unawish ungekua wewe mtoto wa ughaibuni nyoko wakuja weye