Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

UMAKINI KATIKA KU COMMENT NA MENGINEYO

IKIWA TUNAMALIZIA MALIZIA RAMADHANI YETU TUKUFU ILA KUNA WATU WACHACHE

WANATAKA KUHARIBIA WATU SWAUMU ZETU

WADAU HIVI HAPA TANZANIA KUNA MTU ANAMUIGA MWEZIE MANENO JAMANII?KUNA MISEMO KILA KUKICHA HAPA TANZANIA MSEMO WA UNASONYAJE,TUMEKUMISIJE,CHEZEA WEWEEE NI KILA MTZ ANAEISHI BONGOLAND ANATUMIA IKIWA ORIGINAL YAKE NI A TOWN

ISITOSHE MAKUNDI YA SANAAA KILA SIKU YANATUPA MISEMO TOFAUTI UNATAKA

KUNIAMBIA NIKISEMA HAINA MAJOTRO,HABARI ZENU BANA, NITAKUWA NIMEIGA CLOUDS?

YES NI MSEMO ULIOTOKA CLOUDS ILA UMELETWA ILI TUUTUMIE

HIVI NI VIONJO NA MISEMO YA LUGHA AMBAYO YANATUMIKA,UNAKUMBUKA MISEMO KAMA

YA NDOMBOLO YA SOLO,UTAJIJUU,NA MINGINEYO MINGI SI UNAJUA TENA MUDA UMEPITA

SIWEZI KUMBUKA YOTE

NINASHANGAZWA NA WATU WANAOKOSA MANENO YA KU COMMENT NA KUSEMA OOH SINTAH

UMEIGA MANENO,HIVI WEWE ULIPO HAPO BUSY KUANDIKA HAUITUMII HAYA MANENO???BE SERIOUS

BANAAA UTABANA MPAKA LINI?IACHIE TUU KAMA IPO IPO TUU

USHAURI WA BURE
KUNA WATU WENGI SANA WANAANGALIA BLOG NA HAWA COMMENT KAMA HAUNA LA MAANA LA KU COMMENT KWANINI USITULIE NAWE UKA VIEW TUU BILA KU COMMENT

SIPO,SIJAKUWEPO NA SITOKUWEPO KIMASHINDANO,TUMEKUTANA KI CITY CITY NA TUTAMALIZANA KI CITY CITY

COPY AND PASTE THEN SAVE IT

SINTAH

THANKS KWA RAISI WA KWA FUJO DJS KWA KULIONA HILI NA KUNIPA WAZO LA KULIANDIKA


15 comments:

Anonymous said...

TRUE MUMY, KWA SABABU HATA HAINA MAJOTROO NA KAFHALIKA YOTE YAMETOKA A TOWN NA HUKU YALISHAFULIA NDO YANAINGIZWA DAR. ANAEKWAMBIA HIVYO NAE ANA MAJOTRO TU AKATE ZAKE MBUGA HUKO

Anonymous said...

Unanunua bifu na watu, kaaaazi kwelikweli, U-rudi oyeeeeee

rose said...

safi sana na swali zuri
sasa ni wakati wao wajibu na kujielewa zaidi kila mtanzania ana haki ya kuongea
huo ni uchonganishi
sintah potezea,au mtasema nami nimeiga haya mtanunaje

Anonymous said...

Jamani Sintah nimekuuliza kuwa we ni Muislamu? naomba unijibu tafadhali....usichukie lakini nimeuliza kwa nia njema kabisa

Anonymous said...

Hivi wewe unayesema Sintah kaiga huyo aliyeigwa katoa wapi kama si kaiga nna yeye. Hivyo ndivyo ambavyo lugha inakua. Huzaliwa, hukua kwa kutumika na watu wengi, na hufa baada ya kupoteza umaarufu wake. Arusha huo msemo ushapoteza umaarufu naona huko Dar na kwingineko ndio kwanza asubuhi.

sintah said...

Anowa AUG 19 mimi nimekulia katika mazingira ya kiislam kwahio ni kawaida yangu kufunga kila mwaka usiwe na shaka naamini umenielewa
sta goood rafiki

Anonymous said...

sintah mamie waache waonge ndugu kwani kila mtu anatumia haya maneno
usijali wangu

Anonymous said...

haya maneno ni kila mtu anatumia sema watu hawana ya kuongea wewe achana n a watu endelea kutupa raha sisi

Anonymous said...

hivi watu wanapenda kuongea sana kama hawana la ku comment si waache?f**k

Anonymous said...

huo ni wivu uliowajaa na kutaka kuongea tuu bila sababu achana nao,wewe weka hata picha za kwenda kuoga wangap wanaweka picha za kwenda kila sehemu hawasemi wewe kuweka picha ya graduation iwe kazi loooh muacheni mtoto wa watu mnaongea sana
na mnamuonea wivu pumbavu zenu nyie msiokuwa na ya kusema

Anonymous said...

hao ndio wambea wenyewe wametumwa haooooo.......tena wanatokea u - rudi kwenye midomo michafu kuanzia mama mpaka watoto........................

mama Jr. said...

jamani sintah kweli una mtoto? Please nijibu ili nijue.

SINTAH said...

mama Jr YAP ninae

Anonymous said...

We sintah huyo mtoto ulizaa lini!!??? na mbona huonekani kama umezaa!!??? usidanganye Sintah...you look kabinti kabisa jamani.......umewezaje kuwa hivyo!!??? yaani siamini mpaka uniwekee picha ya huyo mwanao........me speechless kwakweli

Anonymous said...

Mbona kwa kumuangalia tu unajua kazaa, anatakiwa apungue kidogo jamani, manake umenenepa huyo, halafu unazudu kuwa mweupe kila kukicha nini siri ya urembo?