Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

ME AND JACKIE JACKIE DANCING IM INTO U ,I LOVE THIS SONG



MBALI NA KWAMBA HUU WIMBO NAUPENDA SANA ILA ALIYEIMBA NAMZIMIKIA SANA YAANI HUYU MAMA SHE IS THERE TO STAY LIKE WISE TO SINTAH
HIVI KARIBUNI ALITANGAZWA KUWA NI MWANAMKE MWENYE MVUTO DUNIANI HAHAAAA NADHANI IN URE HEAD UMESHA CLICK IN TANZANIA NI NANI? GUESS WHO??
WETHER YOU LIKE OR NOT IS SINTAHHHHHHH
UTASONYAJE HAPO ULIPO????
UTAJICARRY NDIO HIVYO MBUZI NI MBUZI HAWEZI KUWA SIMBA

10 comments:

Anonymous said...

best inaelekea wewe hii blog yako umedisign kwa ajili ya haterz zako nini??me sio mchangiaji wa blog yako huwaga na angaliaga tu vitu unavyopost,bt leo ndo nimecomment!!!haya kila la kheri jlo wa bongo una haki ya kujisifia na kujiamini,big up,mtu lazima ujikubali mwaya

Anonymous said...

kwenye ukweli uongo ujitenga

Anonymous said...

Nikweli mdau. Wa hapo juu ia dada yangu sintah kunguza unene utzidi kuwa sexy mana usexy na unene haviendani daima

Anonymous said...

Sinta maneno yako mapana, ila naona saa zingine unamiss matusi. Haya mwaya beautiful wetu watanzania.

sintah said...

hamna dada yangu siwezi kufanya hivyo kwani nina iheshimu sana jamii ya ki Tz mimi tayari niko ktk limelight sasa nikitukana watu watanionaje?anyway nashukuru kwa kulitambua hilo

Anonymous said...

kama kuna mtu anakereka na Sintah kujiita mzuri jamani utaji carry ni kweli mzuri na hachuji ngo sasa kama linakukera kale wembe huko

Anonymous said...

kwani Sintah sio mzuri??mpaka watu iwaumee hahaaaa mama wewe ni mzuri jamani wataji carry na simba ni simba hawezi kuwa mbuzi
ulikuwepo,unakuwepo na utakuwepo ni dua niliokuombea mama

Anonymous said...

Jackie na Sintah mmependeza,ila jackie mwambie mwenzio apungue

Anonymous said...

hongera kwa kufungua blog

Zanzibar said...

you look gorgeous