Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

KAMA NAKUKERA LEAVE ME ALONOOOOO




DAIMA UZI UTAIFUATA SINDANO,

HATA MKISEMA VIPI, KWENYE JAMII MIMI NI MFANO

PS

THX MDAU EMAX KWA HAYA MANENO

7 comments:

juliana deus said...

aaaaa kabisa mwenzangu mana wamekuandamaaaaa weeeeeeeeeeeeeeee kipindi kile sasa kiko wapi ps we nimfano bwana i wish i could be u

sintah said...

aaaah sana juliana mimi tena vinaingilia huku vinatokea kule ndip mpango mzima hapo chacha

Anonymous said...

HE HE HE JAMANI MKE WA MGANDREE, HIVI WEWE SINTA KATIKA WATU WOTE UKAONA UOLEWE NA MGANDA. KHA YANI UMEKATA TAMAA YA MAISHA KABISA, ANGALIA WENZIO TUMEOLEWA NA WAZUNGU NA MAMBO YETU NDO KAMA HAYA YANAKUUMAAAAAA

Anonymous said...

hata ufanyajee huwezi ifunika u turn hata robo! nimeangaliaangaliahumu naona michosho tuu raha ya blog comment bibieee!

ps said...

wewe anonymous im different tena tuheshimiane
you know what why dont you open your own blog na uachie comment
kwangu mimi siwezi kuachia comment tena kabisa niliachia mwanzo na zilinifundisha nimeweka huu upupu wako ili watu wakuone jinsi unavyotumia miguu kufikiria na wala si kichwa
ovyo nachukua lako sonyo mxiiiiiu
nenda huko yaani hapa pataendelea tuu kuboa maana no comment za umbea na wewe ndio mbea mwenyewe ovyo
ni wastaarabu wanaochangia maada za maana
bye bye

Anonymous said...

Mbona unajistukia, hakuna mtu yeyote unae mkera kwa lipi hasa la maana hadi mtu akeleke, we ni mdada wa kawaida kama wengine, hivyo acha uswahili humu watu wanaingia kufurahi, kupunguza uchovu na si kukwaza mtu, uwe na amani

Anonymous said...

wabongo mnachoshaje na mablog yenu ya umbea mtupu. michuzi tu namba wani nendeni zenu hamna lolote kujianika tu kutafuta mabwana nyoko zenu.......