Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

HAAHAAAAAA WAPENZI WA PS BLOG MNAMISIJE???LAITI MNGEONA HAYA NINAYOYAONA AAAH MIMI FULL KICHEKO

YAANI NINAFURAHI SANA PALE NINAPOONA COMMENT ZA AJABU UUUWI ENDELEENI KUNITUMIA ILA SITO PUBLISH N'GO SO SO SORRY LOVS

MMMH WAPENZI WA BLOG YA PS LAITI NINGEACHIA HIZI COMMENT HUMU TUNGEKIMBIZANA JAMANI MAANA FULL MATUSI,KUTUKANA,KUKEBEHIANA YAANI KAZI KWELI KWELI
LEO NIMEPOKEA COMMENT 90 ZOTE OOH SINTA,OOH MARAFIKI ZAKO NINI MBAYA JAMANI??
LET US ENJOY OUR LIVES JAMANI

YOU HAVE GOT YOURS TOO WHY DONT YOU ENJOY

NO KU PUBLISH NI KUCHAKACHUARING COMMENTS TUUUU

UJUMBE:UKIONA MTU ANAKUTUKANA,KUKUSEMA VIBAYA UJUE UMEMZIDI KWA KILA KITU YAANI ANATAMANI AWE WEWE UMEONA WAPI WALE WENYE HALI DUNI WANASEMWA?SI MATAJIRI TUU NA WENYE KITU CHA MAANA

NATUMAINI WALENGWA YOU GOT MY POINT

KUSHNEHI


SINTAH

18 comments:

Anonymous said...

KUMBE KUJISTIRI UNAJUA KAZI KUTUKALIA UCHI TU JAMANI C UNAONA ULIVYOPENDEZA MAMII.

Anonymous said...

sinta unaona ulivyo pendeza na nuru ya Allah,kwa nini usiendeleye ivyo,acana na mambo ya duniya dada,duniya si mali yetu,wangapi wameiaca bila ya kuisha ham dada,kumbuka siku mwili wako utakapo kua ndani ya uwazi mwembamba utala udongo ukiwa ju yako,ardhi tandiko lako udongo mto wako,giza nene na utisho wa kaburi hiyo,wako wapi leo ndugu na marafiki zako?ziko wapi mali zako?yuko wapi caguo wa moyo wako?kipi ca kukusaidiya leo kutokana na uzito ulionao,lov you sinta....mdau toka BURUNDI usibaniyi hiyi basi mwaaaa.

Anonymous said...

yani we sinta ni msenge kuliko wasenge wote duniani, unafikiri coment ni za watu waone? cha muhimu ni wewe kuiona manake msg sent and delivered. we upublish ucpublish utajisort mwenyewe lakini ujumbe umeupata. umkomeshi yeyote kwasababu msg unaambiwa wewe na si mwingine, kwahiyo kuisoma tu twaridhika. pumbavuuuuu

Anonymous said...

Ha ha ha mwaya umependezaa. lkn hayo mavazi yana wenyewe, si christina. vaa mavazi utakayojisikia poa na confortable hata kama watakuona uchi, its u and ua hapy 2 b u.

Anonymous said...

mimi nalipenda vazi hili na wenye tabia zilizokuwa nzuri pia!kama usingekuwa mkubwa kiumri kwangu sinta ningejaribu bahati yangu ya kutuma maombi ya posa,ila na nyinyi watu maarufu tunaogopa kuchukua jumla sisi tusiokuwa maarufu,maana njiwa hawezi kuchanganyika na kunguru.

juliana deus said...

jaman umependeza yan ww hata uvae nn bt kubadilika kwa mtu c hadi ufike mwezi mtukufu ni kutoka moyoni 2 my dia wa2 wanadhani mavazi yanaweza kukupeleka peponi nouuuuuuuuuuuu !!!!!!kuna wa2 wanavaa km ulivyovaa bt matendo yao machafu kwl better 2 be real so wa2 wakajua na mungu akajua huna mwamvuli wakujificha nao na kupotosha wengine be happy with ua life mamitoooo!!!

julana said...

uyo mweny iyo comment ya 3 ye ndo mse... mana angeujuaje huo use... km hajajianzia mwenyewe na ya nn kumgatisha shetani ili we ukonde mamito cheza na dunia maneno na matusi ya binadamu ni hali za kifukara hahahahahahahahaha wanakuonea gere mumy mana wao c wazur yani cku tujie umevaa gunia nahic utazid kumelemeta tuuuuuuu kaza buti hii ndo dunia

Sintah said...

dear mdau nime post hio comment ya nne kutoka mwisho makusudi uone jinsi watu walivyokosa nidhamu ,ila kwakuwa lengo ni kunitukana mimi nime post ingekuwa ya mtu mwingine nisinge post
ninachosema wewe ulietuma hii post Mungu akusamehe

sitokujibu kwa ubaya naamini unanipenda sana ndo maana ukanitukana

i love u
Ramadhani Kareem

Anonymous said...

mamito pendeza haata uvae nini kama uzuri upo upo tuu na wewe ni mzuri na sisi tumekubali wote anaekataa analake jambo

Anonymous said...

mtajibeba sintah upo juu kama kizibo cha beer
hivi binaadam afanyeje?akivaa vibaya maneno akivaa vizuri maneno mmh kweli binaadamu wanamaneno na usiwajali

Anonymous said...

sintah usistaajabu walikusema tangu kinda mpaka sasa umekuwa
haya ni maneno ya machokoraa ambayo hayana pakulala kila saa wako kwenye net kuvizia wanaume wawasitiri
endelea kuwalambisha

Anonymous said...

PS ENDELEA KUTUBLOGISHA ANAEKEREK ASIJE HUKU

Anonymous said...

PS muulize akikerwa kinamleta nini huku?endelea kutupa raha hata ukiwa chooni tupigie picha tuta comnt
wewe kizabi zabina unafuata nini huku

Anonymous said...

chezea nyota ya Sintah weweeeeee?

hajataka mtu kumtangazia blog yake ila kupitia fb tuu tunakuja na tutawaleta wengi

hapana chezea

Anonymous said...

mtajibeba nyie mnao msupport mie wala

liz said...

honger dadad umependaza

Anonymous said...

umependeza kidogo,hivi wewe ni muislam au unazuga?

juliana deus said...

acha 2msaport mwanamke mwezetu amepiga hatua kama bado uko cjini c kosa la sintah bibie ee kosa la mungu ps ukooooooooooooo juuuuuuuuuuuuuuuuu kama mawingu so kukufikiandio tatizo ndio mana wanatukana kula bata mama na huyo acye kusaport katumwa aingie kwny blog yako anapenda thats y anaandika hadi comment