Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

WENYE WIVU MTAJICARRYYYYYYYY

WEMA AMBRAHAM SEPETU AWAMSHA MASHABIKI MORO
NI KATIKA MA POZZZ YALIYOTAWALA SIKU HIO

JAMANI WALIOPENDANA WAACHE WAPENDANE

WALE MNAOSEMA OOH WEMA VILE HUYO HAPO NDO KASHAPENDA NA YUPO JUUKWAANI AKIMPA TAFU MZEE

WALE MNAONUN'GUNIKA KWAKWELI MTAJICARRY NDO HIVYO

SINTAH

12 comments:

Anonymous said...

tujicarry kwa kipi hasa?????????? kwa yeye kutuonyesha matako yake au?

Anonymous said...

hahhha tako lake linalipa jieupe tuonyeshe lako mkaa afadhali mtajisonyajeee

Anonymous said...

jamani wema ana mdudu au?ni msichama mzuri sana ila matendo yake jamani

Anonymous said...

hivi wema ana nini kichwani?mmh huyo diamond kama kinguchiro

Anonymous said...

haa ama kweli penzi halichagui kinyani na sista duuu hahaaaaa

Anonymous said...

SINTA KAMA UMEMZOE WEMA SEPETU HEBU TALK TO HER AS UR FELLOW WOMAN/GAL....ANATAKIWA KUJISTIRI.MATAKO YAKE ANATAKIWA KUYAONA DIMOND KIDUME CHAKE.

amekua kama hana wazazi huku duniani?halafu anaitwa mama wakati mwanae anayaona matako yake stagini?

TWENDENI NA WAKATI SIO WAKATI UWENDE NA SISI.KUNA VITU TUNAFANYA KUTOKANA NA LIFE STYLE ZETU NA UMRI PIA LAKINI TERE IS A TIME INAFIKA UNAANZA KUYAJUTIA ULIYOYAFANYA BACK IN DAYS N NENO "i wish i knew" ni baya sana LINAUMA SANA.

remeber there is time for everything hasa pale inapofikia hatua Mungu(THE OWNER OF EARTH n SKY)anawekwa pembeni.

Anonymous said...

jamani matako yamekaa vibaya

Anonymous said...

haija tulia hata kidogo simpongezi ngoooo

Anonymous said...

Hii. Jamani sijuhi alivaa kibikini basi utasema hakuvaa kitu mwe. Hivi watu wakitoka makwao hawajicheki. Maana naona hata mwenyewe amekosa amani kakazana kushusha hiyo nguo. Kaaazi kweli kweli.

Anonymous said...

Amevaa T shirt au gauni????

Anonymous said...

hiyo minyama kama kafungasha nini sijui

Anonymous said...

wala hamna mwenye wivu ila ni ulimbukeni wa mapenzi mapenzi ya kweli sio ya kutiana aibu kila kukicha na maskendo ona sasa kama diamond alijua kijimke chake kingepanda kumpa company kwa nini amwambie avae nguo inayomuacha matako wazi wanaona raaha wenyewe wanaona ndo kupendana kijinga hivyo! diamond aangalie huyo wema kicheche tu. kidiamond chenyewe wema kakosa tu wa kumzoa koz watu wameshamchoka akaona ajibanze kwa diamond tu hawana lolote wangekuwa na mapenzi ya kweli wangeiga ya besta na marlaw.shitttt