Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

UWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII


NI WAKATI SASA MADUUUUUUUUUU NA WANAWAKE TUBADILIKE JAMANI MPAKA TUNAANDIKIWA MABANGO KUHUSU KUCHUNA HAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

MIMI SIFANYI HIVYO NA WEWE JEEEEEEEEEEEEEEEE?

19 comments:

Anonymous said...

kweli baadhi ya mademu wamezidi

Anonymous said...

mademu wamezidi full kuomba jamani eeeeh

Anonymous said...

yaani siku hizi hapendwi mtu anapendwa pochi
habari ndio hio

Anonymous said...

no money no sex
hah haa bari ndio hio

Anonymous said...

halo halo jamani wera weraaaaaaaaaaaaaaah

Anonymous said...

Nilidhani wachunaji wako bongo tu. Kaaaazi kweli kweli

Anonymous said...

nyoo t ena sinta usiongee nyoo wewe na wale mbwaa wenzio kazi kukaa ROSE GARDEN mnajifanya mnakula makange mafisi wakubwa nyie kazi kuchukua wanaume za watu na kuwachuna tena usinitibue nitawataja woote nyie na mabwana mnaowachuna shenzi nyie nitawafunsisha dunia inavyoenda ma...y nyie

Anonymous said...

teh teht teh mdau umechukuliwa nmbona jazba kubwa? ila hawa ndio zao hana haya kuaweka bango hili mshenzi wa tabia sinta ata ufanye nini huwezi kujivua gamba NATURE umemchuna mpaka kakuimba uyoooo.... yule anayejiaje tena?

SINTAH said...

Kwi kwi kwiiiiiiiiii
hakuna anauemchuna mtu tunaenda na hela zetu na tunarudi na hela zetu
wewe taja nani tuliemchuna coz mimi sina mambo hayo even my friends,so go ahead and mention those buzzzzi
heheeeeee

Anonymous said...

tofautisha kati ya bf na buzi dogo wa hapo juu
sio bf wote ni mabuzzzzzzz
so usihukumu mtu kama kanunuliwa kinywaji na bf wake

rachel said...

we fala wewe inaelekea unatamani unavyowaona hawa totoz wanakula raha eeh? sio RG tu na masehemu kibao wakaribishwa nahisi wewe ndio zako kuchuna so ukiona hizi totoz zimeingdia roho yako inaenda mbio poleee weee...... kila mtu na cash yake na after party kila mtu anarudi kwake so pole yako hakuna anayeunga maisha PS na friend's zake.. ungekuwa wa mana ungetaja hizo buzizi zilizochuna hivi bado kuna mambo ya kuchuna mweee

Anonymous said...

teh teht mwenye cash kati yenu nyinyi ni nani? sinta mbangaizaji anajulikana nyike wengine hoe hae ata baiskeli hamna kwi kwi rabda yule wa clous..... yule mwarabu mbwa kachoka lile jeusi ndio mama kale kengine sinta anakauza eti kamemaliza chuo kikuu kwi kwi kwi yule mwingine simuoni alichonacho nacho zaidi ya kujishauwa tuh na hivyo vi dola anavyoongwa na mume wa mtu kwi kwi kwi mnalo limewaganda shenzi nyinyi

Anonymous said...

na wewe je una nini mana wenzio profile zao zimeeleweka na wewe je?

Anonymous said...

wadau kama umechukuliwa bwana usijishushe hadhi ya ku fight na mwanamke mwenzio ,kama una busara kweli fight na mwanaume aliyemtongoza kwani naye katongozwa kama wewe,na kumbuka wanawake/wasichana tunatofautiana mvuto na kujishuhulisha kimapenzi.
sasa kama mtu amejua the way to tem her bf mpaka jamaa akaamua kuhudumia kuna kosa?angalia usije pigana na dem mwenzio kumbe jamaa hakupendi tena kashakuchoka.

pia kumbukeni wanaume now days hawaeleleki,ukimpata inabidi uwe mwanamke kweli tena wa kisasa sio kurukaruka tuu bila mpango,pia wasichana tamaa zimewazidi,punguzeni.

nadhani sinta ame create hii blog kwa ajili ya kutupa mambo yanayoendelea ulimwenguni sasa tena mnaanza kurushiana mafumbo hivi kweli inaingia akilini?kama unataka kumtukana mtu na unajiamini mfuate live sio mafumbo,kazi uswahili tuu,nadhani bado mmnahitaji elim nyie.

hata kama sinta katembea na J NATURE ni yeye,tena bora hata yeye anaweka mambo yake wazi,wewe je?twajua umetembea na wangapi?jueni tu kwenye hii dunia hakuna aliyemsafi so acheni tabia ya kunyosheana vidole huo ni ukosefu wa akili,fanyeni kazi ili muache kua tegemezi,tena kelele zote hizo inaonyesha ni jinsi gani mlivyofulia.

its me Middy

just know that m not at sintah or anyone's side act like mature ladies.huyo sinta namjua sura tuu hata live sijawahi muona,msimchafue mwenzenu kama nyie ni wasafi sana.

Anonymous said...

kwakweli wataji carry kama sinta katembea na nature inakuhusu nini?katembea na nani mwingine?hyo nature alibebwa na sinta sasa yuko wapi kushinehi
sinta go go go gal
hukuwa na kinyongo ndo maana Mungu kakuzidishia
wanakuonea wivu

Belinda said...

msiache kuongea ongeeni mnavyoweza kila mnapoongea sifa zinaongezeka!!weka kichwani hiyo mamii,keep it up!

Sam said...

Gals just know that in this world there is no human being who can proclaim perfection,I believe whoever is posting nuckish in a blog does not understand the meaning of a BLOG.Thank Middy for trying to create awareness to this gals,but u know what,little knowleadge is poisonous to the owner.Forget the past and talk of the future coz your past will never be your future.Let us learn from our past mistakes and let this mistakes be our challenges in today and always,enjoy the rest of the day gals. Sam.

Anonymous said...

mtu akiongea sifa zinaongezeka endelea mammy keep it up nawe nitajie wako wangapi labda maana mimi naona list yangu ndogo
loooool

Anonymous said...

zinaongezeka wapi,msimuige Jay dee,mwenzenu sio malaya!!!

sinta we kahaba,kubali tu hilo,fuck u bitch!!