Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

LADY JAYDEE CONGRATULATED YANGA AFRICA IN A DIFFERENT WAY AT NYUMBANI LOUNGE

Cake ya kiatu kivue
Elegant

J

Hawa ndio vijana wangu mimi penda nyinyi sana tulikuwa pamoja na Asamoh









CIAO

10 comments:

Anonymous said...

Ulipendeza sana sema jaribu kupunguza mwili

Anonymous said...

sinta ulikuwa kama mdada,yaani nimependa sana maana unajua kupangilia nguo,ulijua ile ghafla ya watu wazima nawe ukavaa kiheshima,hongera sana

luv said...

looking good dia

Anonymous said...

sintah hilo gauni umenunua wapi?

maana hizo ndo fashion za sasa kupanda mabega

Anonymous said...

sinta huyo mchina usimuache jamani maana kakuwezesha huko nyuma
endelea kutumia dawa zake

Anonymous said...

Ulipendeza ila mie my dear nataka kujua tu weaving zako wanunua wapi nimezihusuduuuuuuuuuu unapendeza sana upo juuuuuuuuu kama obama my dear.

Anonymous said...

Sintah ninanunua hapa hapa Dar wala siongopi,ila sometimes marafiki zangu wananipa,au zawadi za kuletewa
nenda tuu madukani zipo uchangue unayoipenda

Anonymous said...

we anony wa 2:36pm kujifanya sinta uumbea tu..na zile wala sio weaving ni lacewig.sinta tafadhali tumia kiswahili kwenye blog yako achana na hiko kingereza cha kuunga unga.unatumia kingereza cha primary ku explain secondary issues..

Anonymous said...

sinta kingereza bado.sijui hata ulisomea wapi uandishi maandishi yako yanaonyesha hun kitu kichwani,afu sinta zaman bwana.sinta saa hizi?

Anonymous said...

sinta kapendeza sana bwana na kwa taarifa yenu anayetumia mchina anaonekana.hana mchina wala plastic surgar.........

kuhusu kingereza hakuna aliyezaliwa anajua sote tunajifunza hapa ardhini sasa msipende ku kuvunja mioyo wenzenu.sinta amepiga hatua bwana mkubali mkatae na aliyepewa kapewa bwana SIR GOD hana ushemeji na mtu.

kuhusu kuvaa na make ups wabongo msijisumbue kutambiana kwani wote ni sifuri...oneni wenzenu wa kimataifa wafanyavyo sio mkalie kuna matako ya nyani yana sugu wakati yenu ni meusi kwa sugu.

SINTA GOOOOOOOO MY GIRL GOOOOOO SISTER GOD IS WITH U MY DEAR.