Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

WHITE PARTY ROCKED

                                            Hwa,Robby Osman and Salma
                                                  Gals enjoying their evening

16 comments:

Anonymous said...

that's nyc wewe salma nawe mkorogo yani wanawake wa dar nawashangaa

Anonymous said...

halafu eti salma anajiita kimora hehehehhe nicheke mbavu zangu mie.. wapi shogaa ngu hhehehehehe

Anonymous said...

hivi Kimora jamani yuko sawa na salma?mbona hawaendani??yaani anashaukwa sana laiti angejua?mmmh

Anonymous said...

mmmh Hawa hanagaka makuu jamani ila huyo mwenzie kama kikatuni na miwani yake asiyoumwa macho

Anonymous said...

teh teh miguu kama fito eti kimora hahahha maziwa kuleeeee... nakumbuka alivyoanz akutangaza chanel ten uwiii kwi kwi kwi macklin wapi?

Anonymous said...

yaani mdau wa june 21 unasema ukweli kabisa yaani kalikuwa keusi ila sasa full kushoboka basi hapendezi hata avae vipi?yaani kweli Mungu hakupi vyote huyu kapewa maziwa kuleeeeeeee,miguu ndo usiseme yaani wewe salma ndio sanam la michelini na unamuaibisha sana kimora asie jijua unatumia jina lake

Anonymous said...

ahahahhaa na kweli miwani asiyeumwa macho kanajishaua jamani kah kimora lee umpate wapi utajuta

Anonymous said...

yaani kako kama kipanya jamani nyuma haelewekin,mbele hajielewi yaani kaangalie kwanza kana aibisha jina la kimora

Anonymous said...

yaani sintah itoe picha ya huyo kipanya jamani ninahasira ya kukiona kinanitia kinyaa mmmh

Anonymous said...

sintah plz comments zingine usiziruhusu....zinahurt feelings za watu moja kwa moja...put yourself in salmaz shoes then usome hizo comments za watu....ungejisikiaje?hata kama unajiamini kiasi gani,which i know salma does....itashusha self esteem yake kiaina..na nyie watu salma hakujiumba,ameumbwa na nyie wekeni picha zenu tuone sio mnananga wenzenu,sintah kama hivi ndivyo ulivyoanza hii blog yako itaishiwa kuwa kama hizi zingine tu zimejaa upuuzi na majungu....kwani did salma say anajiita kimora interms of beauty?huwezi jua anajifananisha na kimora in what perspective labda kwenye uchakarikaji na ujasiriamali,i kan neva know.so plz people mnaandikwa vitu jaribuni kuwa rational....ni hayo tu...sorry kwa yoyote ntakayemuoffend.its not my intention

Anonymous said...

Mmmhh watuwengine kwa kunyamba wenzao wao kwanza wamejiangalia kwenye vioo ndo wanamnyamba kimora wetu loh mshindwe na wivu wenu na mlegee kabisa salma aka kimora yupo juu km mdau alivyo sema hamjui anajiita hivyo interms of what km nyie ni wazuri mbona hamjaolewa.uzuri sio sura jamani ni tabia. mtajibeba!!! kimora oyeeee

Anonymous said...

kiukweli Salma Masangi ameumbwa kwa style yake,anauzuri wake Mashalla.

Tatizo lake ameanza kujiingiza kwenye mambo ya u-star(anajinadi sana),mimi naona anajiweka kwenye mazingira ambayo hastahili kua.

she is supporse to be a cool lady,msomi fulani,ajitulize na si kutaka mambo ya ungingi,kweli hapendezi the way she act now days.

halafu anapenda umaarufu wa bure,i know her hubby,ni clearing agent at customs & wharf,the man(hubby)is cool,very friendly n understanding person ila salma angalia unakokwenda utamchosha jamaa wakati mungu amekupa bahati.

SALMA MSANGI ACHA KUJINADI....UMEJIACHIA MNO HATA SIJUI MAMBO YA HOME KWAKO UNAFANYA SAA NGAPI NA MTOTO ANALELEWA NA NANI.AU NDO MPAKA KUTANDIKA KITANDA DADA ANAFANYA?KUTWA KUCHA KIGUU NA NJIA.

AU NDO SOMO HAKUFANYA KAZI YAKE AU ULIKUA MWALI MWALIKWA WEWE?ANGALIA WENZIO KINA NYOTA WAZIRI NA MWENZIE SALMA KESSY WALIANZA HIVYO HIVYO HATIMAYE TALAKA WAMEZIONJA MWISHO WANASINGIZIA WANAUME WAO WAKOROFI WAKATI WAO NDIO WASHENZI.
TALAKA WAMEPATA SASA WANATAPATAPA HUKU WANASAGANA MAANA MPAKA MABWANA WA MAANA HAWANA.

PUNGUZA MUNKARI BINTI WA KIPARE,HEBU ACT KISOMI,JARIBU KUMUIGA ATLEAST MISH B,KATULIA MWANAMKE ATI........

Anonymous said...

salma wewe ni mzuri na unapendeza sana.ushauri wangu wa bure ni kwamba USIWE KAMA UMEBALEHE LEO AU JANA AU USIWE KAMA UNA MIAKA KUMI NA.........ACT KIUTU UZIMA.

otherwize mambo ya sura n all that wote tumeumbwa na Mungu na hakuna wakujiumba wala kumuumba mwenzie duniani,achana na mambo unayofanya sasa.endelea kuchapa kazi na jifurahishe kwa style yako sivyo unavyojichanganya kama bachelor

mama Rajjy.

SINTAH WA UKWEEEEH said...

mdau wa june 24 mimi sibanii comment hata moja wengi wetu tumeshazoe kupakwa na kuachwa afterall hatubadiliki na naamini my gal salma hana tabu kabisaaaaaaaaaa
kwani anajua anachojkifanya aliesema salma hafany kazi za ndan na hamtekelezii matunzo mtoto ni nani?usielijua ni kama usiku wa giza
kwa taarifa yako salma anamalizia mambo fulani ndio ajiweke sawa na kuzaa hana hata mtoto sasa siujui ulikuwa unamaanisha mtoto wako au mtoto mkubwa?
ndo hayo ninayo sema USILO LIJUA NI KAMA USIKU WA GIZA
SENKYU
SINTAH 4EVER

Anonymous said...

NDO MAANA ANAKAUKA COZ HATULII NYUMBANI,KILA CKU NJIANI UTAGEUKA BANGO MPAREEEEEEEEE WEWE

Anonymous said...

MSILETE BIFU ZISIZO NA MAANA KWENYE BLOG HII. HIVYO UNAVYOONA NDIO LIFESTYLE YAKE NA HATAKIWI KUISHI KAMA MNAVYOPENDA NYIE.
SALMA LIVE YOUR LIFE TO THE FULLEST