Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

PS NIGHT

                                                            PS
                                                            Super Model Tyra Belina
                                                          Savanna Lounge tha place to be
                                                         Super Model Hawa
                                                         PS and Zamarade
                                              Keki thx to Monica na kati ya British Airways

21 comments:

kim said...

jamani wewe Zamarade mshauri PS arudi ktk Game

Kim

Anonymous said...

kwani huyu Zama ni msomali?
asije akatulipua

Anonymous said...

PS keki za Monica mmmmh hh ni noma

Anonymous said...

we sintah una mimba?tumbo hilo jamani ni nini mibia na nyama za bure na miugali etc acha bwana yaani unakua ju mkubwa chini mdogo maana una miguu mibaya sio minenen na imepinda halafu magoti yanagongana katikati ndo yakakuinua kidogo matako lasivyo shepu inampinda na unakua kama una kibyongo,fanya mazoezi halafu punguza kujicubua uekua mweupe sanaa kutwa kujichubua kanini lakini?mbona ulikua bomba tu halafu na lace wig lipumzishe tutakukinai.na hao mashoga mh mbona mmekaa kiswahiliswahili hivyo to be hnest mi naona kama umerudi bongo toka uganda sasa unataka watu wakukumbuke kwa nguvu,ungerudi kw agearya kuwa cool na mstaarabu fulani hata mume mpya tapata nowdays i kuchuna kuchuna na wewe kwanini lakini?umaarufu hautafutwi kwa style hiyo halafu wewe mkubwa sasa na ulikua na mascandal kibao so ungerudi kwa gear ya down low while u do ur things,umeingia kwa pupa aua aunataka uibe tena hela za ofisi halafu utimue?na wewe kweli ni njaa mbaya maana dollar 12000 zikautoa imani ungeiba mihel mingi tungekuona wa maana shauri zako bibi kumbuka umaarufu unaweza ukakumaliza au ukakuiniua na wewe maana uliharibu kwingi na kila scandal unayo basi jiandae kufukuliwa mengi yaliyozikwa.ni hayo tu nimeoana nikwambie maana nilikua nimekaa sehemu na wazee wa mjini duh ulivyopondwa acha tu bora mwenzako amina alikua na mume maarufu lakini bado mlikua mnashare mabwana hadi kwa liumba kazi ipo.na kuvunja ndoa za watu yaani wewe muomvbe tu mungu akusamehe,im not here to judge you but this is for u ukitakachuja ukitaka pepeta but thtas the fact,eti pretty sintah,mamaa uzuri si weupe baki naturala ndo ujiite pretty sintah mablog yanakupa picha umekua kama washamba wengine tu.halafu wewe ni muongo kwanini ulikua unadanganya watu uko UN?weqwe si ulikua ile ofisi kwa muda tu i mean kwa contact halafu kuna kipindi ukadanganya uko london mtotot mwongo na una maisha fake wewe balaa.na uache kupiga wanaume mizinga unapenda kuomba hela kama nini huna tofauti na changu na kutwa kujipendekeza majina makubwa.aibu zako loh mwanamke learn to close ur legs

PS said...

hahahahahahahahaa jamani thx so much for ure comment so lovely but to be honest u av never seen my qualifications,and i don nid anyone to put me where i wanna be put my strength,power and everything
but one thing you should do know that i don lie and whoever told you was working with UN could be correct coz ui had a temporary job with them in Adiss Ababa
believe me CRITISMS makes me grow stronger and those called supetr strars you mentioned are good friends of mine your just an envious person na sina mtu ninae mchuna luvly pal its my Dime worked for it
ofcourse i shouldnt av tym to send this to you coz your meaningless
CIAO
PS

Hot said...

jamani hivi PS
umemuelewa huyo mtu?
ignore

Hot

PS said...

Halafu wewe dada hujui fashion kabisa inaonekana wewe zozo kweli jamani nguo hio ni puto stomach dress unasema nina mimba anyway miguu ni ya kwangu nawe onyesha yako sasa mimi nimeipata hio kama fimbo je wale wasiokuwa nayo kabisa si watahitaji hizi spoke za baiskeli zangu

loooool fulll raha wangu bata analiwa
ukikipata tumia ukikosa jutia

Anonymous said...

halafu wewe dada kumbe ni wa kilong unataka nianike nimeenda hapa mimi sio mshamba lovely gf nimesafiri sana hata hapo kenya na sijawah kuweka picha i was in Nai hahaaa my gf jackie was in SA two weeks ago na she has the best camera ila hukuona picha kama alikuwa Pretoria jamani so sorry for u but soon you will get to know me luv
sasa ndo nitaanza kuweka hizo picha wait am about to fly high to Italy nitawek picha mpaka za muuza sausage

mdau said...

we fala wewe eti italy nyie ndio wale ewale paka wewe sasa wewe ndio unamjua sana au yeye mwenyewe ndio anajijua kama ana mimba amekwambia umsaide kununua teniti.... acha ushamba kama ulikuwa unatak kuja na aukualikwa poleeeeeeeeeeeee na sisi eti rafiki zake vicheche pole weeee i wish ungejua life tunayoishi ata baba yako mzazi ajawahi kuishi, achana na PS na ataendelea kuwa sintah milele..... usisahau ata wewe unashea bwana na mama yako mzazi fala weeeeeeeee

Anonymous said...

weka picha yako na wewe tukuone sina hakika kama uanjua at tarehe yako ya kuzaliwa... mibia, nyama za bure na miugali poleeeeee weee hivi wewe mpaka leo unanunuliwa bia na nyama uanchekesha unaonyesha jinsi gani ulivyokuwa wa mbwinde.... teh tehe unanifurahi wewe kama unataka kuwa ukaribu na mtu unamwambia sio unatafuta kutoka kupitia migongo ya watu utaji carry..... PS WERAA WERAAAAAAAAAA

Anonymous said...

jamani kwani huyu dada hapo nini kina mkera zaidi?
kubali yaishe weka picha yako na ya hyo anaetumia mkorogo PS tuone nani zaidi maana tusiandikie mate wakati wino tunauona mimi binafsi itwas lovely party na kama unataka kuwa rafiki yake Mtumie in box fb
kingine kwa mwanamke kupanua miguu ni kitu cha kawaida sasa alifanya bhoke na dunia nzima ikaona sembuse dada huyu kwa ujumla huo ni wivu na punguza ndugu yangu nawe utapata,mimi naish kla sijawahi kuona Sintah akienda cheap places,kwaujumla una yako

MKEREKETWA said...

SINTA WACHOME WACHOME WACHOMEEEEEEEEEEEE........ wewe una nini katikati ya miguu yako? pili unafanyaga nini wewe au unaona donge mwenzio anaongwa kweni kama anaomba hela na wewe si umuombe uyo anaye ku DO kama utapewa BINADAMU bwana amusihi vituko PS kaamua kuwa na rafiki vicheche wewe kinakuuma nini hahahhahah Najua unaona raha kujibishana na SINTA mana hyo bahati ulikuwa uanitafuta siku nyingi hahahhah pole weeeeeeeeee....SINTA anatembea uku amekaa kazi kwako uanyetembea uku umesimama mwanamke kuongwa babu na aswa ukiwa na bahati ya kuongwa

Anonymous said...

jamani jamani tunakusuiri mama wa italy mana duh! umechokoza moto

Anonymous said...

hivi huyu Hawa mbona hana swaga???kila sehemu yupo ndo maana yule chikonde siku hizi hatembei nae maana hana swaga chikonde kuwa na mbonie cha kujishaua
mtanichukia ila ps utanipenda maana hii blog itakuwa ya kurekebisha tabia za mastaa incuding wewe PS

Anonymous said...

mmmmh Sadda kati ya PS na Penny,Hawa,Belina nani shoga yako?maana upo upo kama bendera ya CCM

Anonymous said...

UWWWWWW huyo sadaa ndo wote marafiki zake basi sifa yake kubwa ni UMBEA

Anonymous said...

sinta unachekesha sana,ACHA UONGO! na yote aliyosema anon hapo juu ni kwel;i usijipe moyo wa plastic na kufurahisha umma,umekua wewe sasa badilika na acha utoo eti fashion,fashiin inaendana na umbo i h ave seen u ktk nguo tight tumbo bado kubwa soon tutaweka pic zako before n aftr kororgo.familia gani unayoitunza wewe si mume kakuacha una family wewe?nilikuona lipojifungua ukarudi bongo yaanii ulikua unanuka maziwa mchafu mtoto mchafu duh haya bwana eti ur money hehhehehehheh danganya wasiokujua tunaokujua tutafukua mengi bora ukae kimya tu jibu usijibu what i wanted uupate ukweli wako.nayways dreams can come true unaishi maisha ya maigizo so endelea kuota

Anonymous said...

Wonders shall never end feel sorry for you mazafanta

SINTAH(special envoy )

kama hutaki chukua kamba ukamfate Osama

Anonymous said...

Kwani PS
HUYU DADA KUNA KINACHOMUWASHA?ACHANA NAE ANAWASHWA NA SOON ATAKUNWA
KAZA BUTI

Anonymous said...

PS
usijibu ujinga muache aandike akimaliza atakaa kimya
just a looser

Anonymous said...

Wewe dada unaesema wenzio wanapanua miguu sijui wewe unapanuaga kitu gani labda mdomo.km wenzio wanatumia mkorogo wanapendeza wewe kinakuuma nini?awe na tumbo asiwe nalo wewe shida yako nini.kila mtu anajivunia alicho nacho na anachoweza kufanya km wewe huwezi kuwavutia waume za watu wakakutaka utajibeba.PS kaza buti huyo ni just pusssyyyy