Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com
                                                   haluuuu ni kula,kunywa na kucheza
                                                         nasinzia nikikuwaza ooooooooooooo
                                                           Ladies
                                                  BBA winner Richard,Racheal and PS

7 comments:

Anonymous said...

heeee mmh maajabu sauda alipendeza??aaaah nimegundua kwakuwa hakuwa na Mai matha the wako jako
kama Sauda ana akili asingekuwa anatembea na Mai matha maana anamzibia sana

Anonymous said...

kwakweli sauda ni mzuri kama ulivosema mdau hapo mbele tatizo anaongozana na watu sio kabisa kama Mai anapenda sana kuabudiwa atukuzwe yeye mmmh sauda kama kweli PS ni rafiki yako kuwa naye huyo sio yule wacko yaani pale utabeba sana mapochi
ni hayo tuu
kim

Anonymous said...

Sauda Mwilima acha kujichubua jamani loooooh Dar bila Kujichubua kweli haiwezekani
yaani wewe dada sijui ukoje mbele huendi nyuma hurudi jamani masuper star wa bongo shida tupu
haya na huyo mwenzio sijui ndo PS
mmmh kazi kweli kweli jamani

Anonymous said...

yaani huyu mdogo wake sintah ni kama dada yake yaani na udogo wote huo anakumbatia dume mmh amakweli historia inajirudia kila shughuli yupo baada ya kusoma anakaa akiuza k na machangudoa yaliyoshindikana
ushauri mtoto soma

Anonymous said...

Jamani hebu kuweni wastaarabu mjue heshima inaanzia kwako binafsi kashfa zenu kwa sauda na wengineo haipendezi kutoa comment ktk blog ya mtu hamlazimishwi lol kujua kutumia net mshageuka kero hayo matusi ya kuwajudge watu kama nyie ndio mmewaumba kiukweli haipendezi si wao nyie inawahusu nini sasa? Kila mtu ana uhuru wa kufanya anachopenda hebu acheni usnitch khaaa wa wapi nyie? na jinsi mnavyoona aibu ka si haya mbona hamjaweka majina yenu si mnajijua kama mmebougy step tabia mbaya hizo mkome, mziache, mshindwe na mlegee . Da latifa hawa watu wengine kwenye blog usiwaalike wanakuharibia tu. Ts me celyn

Anonymous said...

na ni kweli wanakazi yakuchambua watu km wao wazuri sana mbona wasiandike majina yao. wahedi nyang'au nyie.aende shule kusoma kwani nani amekuambia anasoma kwahiyo mdogo wake babu yako nae anasoma?mwambie nae aende shule na miaka yake hiyo aliyonayo watu wengine bwana !!!!!! PS wanatafuta wakunaji hao wanao andika ujinga humu wasije fanya blog yetu ikasitishwa

Anonymous said...

ooooooooooooooiiiiiiiiiiiiiiiiiii mtajibeba au mlijua wanaoishi bongo hawawezi miliki blog mnajua ni wale wa abudhabi tu...PS uuuuuuuuurrrrrrrrreeeeeeeeeeeeeeeeeeee