Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com



10 comments:

Anonymous said...

hivi huyo Zamarade hizo ni swaga au?maana mabuti kama anapanda milima sijui tena Highest kama kilimanjaro mountain
kwa wale mnaomjua naomba mfikishe ujumbe wangu

Anonymous said...

zamarade badilisha mavazi,na miviatu hio kama unataka kuteguka kaaaah

Anonymous said...

hahahahaaaa..umenifurahisha mdau!! Zamaradi anajiona yuko juu kumbe hajijui..mvuto hana, ukimkaribia utafikiri kinyagi manake akicheka ndo balaa, anatishaaaaaaaa!! naskia yeye kupiga mswaki siyo ishu! anapotezea mpaka siku akijiskia!! Usibanie PS

Anonymous said...

PS sijuikama unasoma comments au labda nimechemsha ... Nilikuwa na kupenda sana wakati uanigiza... naomba kuuliza kwa hivi sasa wafanya nini? mara ya mwisho alinambia dada ko Judy wa tabata au alikuwa anakaa Ilala pia .. ulikuwa uanasoma nairobi...

Take care of u and happy belated birthday

Anonymous said...

mdau wa june 15 5:06 pm umenifurahisha kweli hao ndo masuper sister hata mswaki jamani hahahahahahahahahahahahahaha kazi kweli kweli

PS said...

yap mdau mimi nipo tena sana na ninasoma comment zote nijue wadau wangu mnataka nini napenda mkileta mawazo tofauti jamani mimi love you all

wewe annyms unaenijua yes judy ni my aunt and i love her so much yupo italy kimakazi august nitaenda kumsalimia kama unasalamu nicheki katika email

SINTAH

Anonymous said...

Zamarade jamani hana hana mvuto sijui nani kamwambia avae lace wig anakuwa kama kinyau kilicholoana loooh
kwa habari zilizonifikia nikwamba nasikia anatoka na yule boss wake Ruge yaani zamarade ni malaya wa kichini chini

Anonymous said...

sinta umeanzisha hii blog kwa lako jambo,soon utaumbuka

Anonymous said...

Yani hapo juu wote mnaonekana kabisa mna chuki binafsi na huyo zamaradi, hayo maneno muandike kwa wasiomjua sio sisi, kuna mtu yuko smart kama zamaradi jamani, anajipenda msafi na hayo yote maneno ya mkosaji tu, huenda katika nyinyi kuna aliewazidi kete, ama amewachukulia, kwanza kumzungumzia tu inaonesha anawaumiza kichwa kiasi gani, maana zamaradi zamaradi hee, hebu mwacheni mtoto wa watu,kwa wanaomjua hakuna hata mtakaempata, mnataka kumuharibia tu mtoto wa watu inahusu? Mkome

Anonymous said...

Ndio wanatoka na muhaya kakwama hapo nyie inawauma nini? Mbona sio siri mjini hapa? Acheni chuki zenu mwacheni ruge ajilie vyake mtoto mtamu huyo, au wewe uliecomment ni mmoja kati ya waliomwagwa? Kwa taarifa hao ni wapenzi tena permanent na sio kosa, kwani kutoka na ruge ndio umalaya jamani? Muacheni mtoto wa watu na bosi andunje wake, zamaradi kawazidi ujanja,waburuze hao mama chuki tu hizo wasikusumbue akili, wengine watulie walee mitoto yao isiokuwa na baba wa kueleweka mbona tunawajua, we love u zamaradi.