Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

URAFIKI NA MABWANA TOFAUTI

Dada Sintah
nakupa hongera kwa kufungua blogspot

mimi kama mwanamke naomba nitoe hii mada kwa wale wanawake
wanaoshindwa kujizuia na kutembea na waume za marafiki zao kwakweli
hii sio nzuri kabisa,wanawake tupendane utakapokuwa unatembea na mume
warafiki yako kwani utavunja urafiki kati yako na rafiki,naomba wadau
wa PS mliongelee hilo
ni mimi
rehema na canda

3 comments:

loveracheltz said...

hakuna la ziada zaidi ya tamaa hapo dada... unajua urafiki ni kazi na sio kama watu wanavyofikiri

loveracheltz said...

hakuna la ziada zaidi ya tamaa hapo dada... unajua urafiki ni kazi na sio kama watu wanavyofikiri

mama wa mitulingaz said...

Mhh, rafiki wa nini karne hii!! rafikio awe mama yako au nduguyo basi!! hakuna rafiki wa ukweli enzi hizi, rafiki wate njaa tupu