Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

THE WORD OF WISDOM FROM KOKU

Message ----
From: KAOMBA EMAIL ISIWE PUBLISH
To: SINTAH PRETTY
Sent: Mon, July 25, 2011 11:41:38 AM
Subject: AM HOPING YR DOING FINE U AND UR FAMILY AND THE LOVES ONES,


Minaitwa koku, naishi Usa, nimekuwa nikisoma makala zako maramara, yr doing such good job at the moments, mi pia napenda fashions, designing, na mambo yote ya urembo kama walivyo wnawake wengine, Ila naona blogs nyingi za tz zinazungumzia au kuonyesha fashions, maaharusi matamasha fiestsa siyo mbaya, ILa naona tungeelimishana na masuala mengine ambayo yanausu jamnii yetu ya kitanzania,hasa elimu, elimu mmomonyoko wa maadili ktk jamii, yetu,ili siyo suala tu la wazazi, au ndugu ni suala ambalo ni la sisi wote, viongozi wa dini zote, viongozi wa serikali, wazazi walimu, pia ningependa media press kuelimisha jamii na siyo kupotosha jamii stories mnazotoa kwenye magazeti ya udaku, picha mnazotoa kwenye magazeti za aibu aibu tupu,Future generation ya Tanzania na generation na ya sasa ttuakuwa wanadamu ambao hawana maadili wanadamu ambao hawana elimu ya ktosha, ya kujua baya na zuri tumekalia kuonysha matamasha ya miziki, starehe Hakuna wa kukemia hili jambo sisi ni bora liend kwa kila jambo its sucks and stinks
ulevi wa kupindukia, picha chafu kwenye magazeti ambayo watoto, wadogo wanafunzi wanasoma , haya ndiyo maadili ya kiTanzania ndugu zanguni??rushwa imetawala kila kona mpka scandals ndiyo vichwa vya habari, picha chafu, uoze mtupu its make me sick in my stomach watanzania wenzangu tutumia media, press ,blogs internets kuelimisha, kukosoana ,na kuonyana. Na si matusi kejeli dharau, havitusadiee hata kidogo ktk maisha yetu tuige mazuri ya maendleo ndio wanahabari wanasadia kuelimisha jamii, kufichua maovu ktk jamii ila mmevika mipaka
plse sinta nimetoa hiyo makala kwa sasa, ila nitatoa nyingi baadae kidogo am bussy ninaprojects kibao kwa sasa nabidi nizikamilishe usitoe email yangu kwa yyeto is confindentail sisy najuwa mgs delivery kwa walengwa then ipitie tena am not jornalist so to flows with colums so help me to correct my mistakes thanks you stay blessed with god.

KOKU

No comments: