Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

RACHEAL'S BIRTHDAY PARTY AT MIKOCHENI

                                                           Cake thx to Monica
                                                                Birthday gal RK
                                                    Racheal & PS

WIKI HII PS ALIPATA MUALIKO

THX TO RK ,WE HAD FUN

NATAMANI SIKU ZIRUDI

SINTAH

17 comments:

Anonymous said...

mikorogo itawauwa mbona nyi mu wa zuri tu.... angalaia sura zenu

Anonymous said...

teh tehe tehe anonymous hapo juu umesema kweli sintah unajikumbuka ulivyokuwa una act rangi yako lakini hivi hyo mikaroriti itawaletea kansa buleee mbona wale shoga zako wengine weusi na wanapendeza tu

bahati said...

birthday birthday wadada wa njini mna mambo kila mtu anafanya birthday uwiii...... pole yenu ila mmependeza uyu mwenye birthday ni recho gani tena?

Anonymous said...

mmmm mama blog hatumii mkorogo ila ni make up zilizoenda shule muacheni PS

Anonymous said...

mwenye birthday anakuhusu paka nini mikorogo na wewe si upake kweni hyo mikorogo wewe ina kukosti nini? na birthday ata wewe aujakatazwa kufanya

lulu f said...

rachel umeacha kule mjini kwa wale wahindi shosti? umependeza mashalaah! ila kwaeli ata wewe rachel unatumia mkorogo me nakujua sana aukuwa hivyo hahahhah.... ata sintah ukibana habari ndio hyoooo tutaendelea kuwachamba mpaka muwache kunywa carolite.... rachel umekuwa kibongeee vipi mmarekani karudi nini na yule....umemwacha teh teh teh happy bireted birthday sintah ukibana usipobana ila utampa msg shoga yako tena naandika na jina langu

Anonymous said...

jamani kwa kweli huku kwa PS kutamu sana hongera PS kwa kupata sponsors Protea Hotel jamani Sinta wewe na nyota yako ni kama jua lililoko angani hata siku moja halifiki chini
wale wanaochukia wata copy na ku paste

Anonymous said...

Racheal jamani huo mkorogo inakuwaje ndo maana mi chunusi unayo nakuonaga unapo nunua mkorogo unataka uwe kama yule mzungu nini?,,,h pole sana dada,mmmh siku hizi uko juu na PS tena mmmh huko ni kutafuta umaarufu

rachel said...

mmarekani ata akirudi asiporudi huduma pale pale na mitoko kule kule yule... nimekuachia wewe uliye na njaa moaka kwenye ekope... carolite naoga..nakula na pia napaka kazi kwako.... nimenenepa kwa sababu nimeridhika na sina stress kama wewe...PS hawezi kubana comment ya mjing akam wewe...

rachel said...

haaaaaaa utajibeba na wewe kanunue nataka niwe kama baba yako... ata kama nina chunusi nimeshapendwa kazi kwako...ata kama nikiwa chini PS ni raia wa kawaida kwa taarifa yako na wala hana makuu na wewe kama unataka njoo tu ujakatazwaaa... me nina chunisi wewe auna tuma na wewe picha yako then tuone

lucky said...

HAPPY BIRETED BIRTHDAY RACHEL.... achana nao hao visabengo wanaona dongeeee... wewe rachel ni mtu wa watu achana na wajinga na endelea na mkorogo wako mdogo wangu uwe kama zeru zeru aiwahusu.... ur always the BEST wajinga wajinga wapotezee wanatamani kuwa kama wewe ila hawawezi.. Mwenzio SINTAH kaisha zoea achana nao mtoto ndio mana ulivyotoka kule sijaenda tenaaaa naona shobo tuuu uyo ala aliyejitaja ni yule aliyekuwa anakuja maziwa nje kwi kwi kwi usijali dogo.. ni email hapa lol lucky60@yahoo.com

SALMA S said...

rachel mdogo wangu una bahati ya kuongwa but ur problem ur all friend's there not good for u.... najua hapo urafiki wenu ni kukaa bar kupiga picha kuweka kwenye blog ndio mana mzungu alisepa kwa sababu ya kampani zako na matumizi yako, na unapenda kujifnaya wewe mama huruma kila mtu uanmsaidia uache hyo birthday ulichangiwa au ndio dola zote unazopewa zinaishia hapo badilika mdogo wangu.... RAY C aliishia wapi tena? umeanza na uyu barazuli wa dunia.... i wish ningemjua boy friend wako ungejuta.... na me naandika jina langu yani siku nyingine ujitoi tena umu kwi kwi kwi kama nakuona hapo ulivyohamaki na mvua ya mawe hahahha ukitoka kusoma hii kaandike fb sehemu yako ya kutoa stress... nasikia una gari siku hizi dogo.. NAKUANDIKIA JINA HAPO CHINI... SINTAH Endelea kuweka mambo jamani uwiiiii

ester wa majumba sita said...

silence is good answer for stuppid people!!!! mumependeza warembo sintah upo juu mama wewe ni mzuri huna mpenzani rachel go on mjini hapa lazima uwe na kampani egnor stuppid people....

Anonymous said...

PS
Mamie asiyekubali kushindwa si mshindani my love keep it up

Anonymous said...

salma unataka kuniambia rache ni msagaji au anasagwa hehehe wadada wa mjini kweli mna mambo uwiiiiiiiiii dar es salaam iko siku mtakuta imedidimia chini kwa maovu watu wanayofany, ngojeni siku mungu akasirike ndo mtapata habari yenu fresh

Anonymous said...

wewe salma tena unamuonea sana Racheal donge nahis hapo ulipo unatamani kuwa kama Racheal kwa kuwa karibu na PS
sasa mambo ya mmarekani yanahusu nini katika blog kama sio jelaousy?
ushindwe na ulegee

yusta said...

mnamuonea mwenzenu mdogo na ana bahati zake mshindwe mnajua yeye na sintah walikutana wapi wewe salma una yako me nina mjua bf wa rachel vizuri sana au nikupe contact zake uone kama atakusikiliza... toka zako kule sasa mambo ya marekani, mara wapi yanahusu nini tabia ,mbaya rachel kila unapokuwa na ps wekeni picha umu shwain..... mwenzenu anaongdea na watu vizuri karibu A TOWN rachel mimi yusta mtoto wa mama yako wa ubatizo mama cliff.. na mimi niambieni najipendekeza potelea mbali ila rachel namjua hana mambo ya kiswazi na ndio mana anapata marafiki bomba na namba yangu mkitaka naiweka mnichambe vizuri mbona atupendani jamani.... hongera kwa birthday uje kwa mama yako karatu